Daktari
- Daktari (au dokta; wingi wake unaundwa kwa kutanguliza ma-) ni neno lenye asili ya Kilatini ("doctor") lililoingia Kiswahili kwa kupitia Kiingereza.
Daktari wa meno
- Daktari wa meno ni tabibu aliyesoma uganga wa meno hasa. Anahusika na utambuzi, kinga na tiba ya magonjwa kinywani, si meno pekee.
Daktari wa dawa
- Daktari wa dawa (pia: "mfamasia") ni daktari wa kitaaluma au shahada ya kwanza aliyesomea mambo ya dawa.
Daftari
- Daftari (kutoka neno la Kiarabu) ni kitabu cha mazoezi ambacho hutumika hasa kunakili kazi za shule na vitini.
Daktari斯瓦希里语的发音含义,同义词,反义词,翻译,刑和更多。